Duration 13:23

Askofu Kilaini aelezea alivyopatwa na uchungu wa mzazi wakati wa Upadrisho/ Asifu uimbaji wa Kwaya

368 watched
0
6
Published 12 Jul 2021

Ni wakati wa neno la Shukrani katika Misa takatifu ya Upadrisho Jimboni Bukoba ambapo Askofu Methodius Kilaini msaidizi wa Jimbo hilo pamoja na Askofu Almachius Rweyongeza wa Kaynga wameisifu Kwaya kutoka katika Kisiwa cha Gozba Parokia ya Bumbire kwa Uimbaji. Askofu Rweyongeza aoa neno kwa Mapadre wapya. www.radiombiu.co.tz #RmSautiYaFaraja

Category

Show more

Comments - 0