Duration 13:7

Mazoezi ya kuongeza MAKALIO bila vifaa ukiwa nyumbani

122 239 watched
0
930
Published 21 Apr 2021

#howtogrowglutes #makalionahips #mazoezi

Category

Show more

Comments - 272
  • @
    @JoanfitnessTV2 years ago 0683836293 whatsapp kwa mahitaji ya mpangilio wa chakula na program kamili. 6
  • @
    @rayamasoud37723 years ago My dear very nice maxoezi yp simple napat majib. 1
  • @
    @JOHNPHILIMONI7 months ago Ahsante sana mpnz nitaanza mazoezi kesho me nahitaji hipsi kidogo na tako kidogo cyo sana.
  • @
    @debrahcherop13022 years ago Asante sana dadangu naanza hayo mazoezi sasa hivi nakupenda kutoka kenya. 1
  • @
    @joycemollel70193 years ago Kwa mtu alifanyiwa operation anatakiwa akae muda gani ndo afanye haya mazoezi pamoja na yale ya kukata tumbo? 5
  • @
    @adivemasatu86143 years ago Naomba no, unielekeze vyakula navyotumia, na mazoezi ni asubuhi na jion au. 1
  • @
    @mariajoni9892 years ago Mazoez yako vzr naomba vyakula vya kula wakat unafanya hayo mazoez.
  • @
    @milkerathuman34933 years ago Hello dada, nahitaji kuanza hii hivyo nahitaji kujua mpangilio kamili na vyakula pia. 7
  • @
    @BekaahBakari-jz6qulast year Ni kwa mdaa gani dada anguu shape unawezaa ikawaa tayarii imeshatokaa.
  • @
    @bahatikahogo4014last year Asant sana mdada nainjy sana na mafundish yako.
  • @
    @jamilaalmarzooqi48453 years ago Dada mambo mimi naonba mazoezi ya hps na makalio. 3
  • @
    @happnesswalyes73262 years ago Nahitaji kupungua tumbo lng ni la oprestion je nifny zoezi gani ili nipungue hili tumbo?
  • @
    @joycezawadirose98972 years ago Jamani asantesuhuhu la kuimaliza tumbo.
  • @
    @irhadiddi942 years ago Dada ikiwa unatakakiwa ufanye mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jion wiki mara 3 sasa mimi nafanya jioni tu jee nikifanya kila cku iyo jioni itakuwa nakosea au ata iyo jioni pia nifanye wiki mara 3. 2
  • @
    @glorymbwambo66503 years ago Aisee haya mazoezi kiboko siku 4 mambo poa lkn mwanzoni utaumia makalio yanauma miguu inauma sana.
  • @
    @leahnzali53173 years ago Naweza kupata mazoezi yakupunguza tumbo na kuongeza hips. 2
  • @
    @nuruemmymkayula8613 years ago Mama mjamzito anaruhusiwa kufanya haya mpaka mwisho wa miezi mingapi?
  • @
    @user-bs6tt1sr3t10 months ago Naomba no yako dada nimependq haya mazoez.
  • @
    @peterorage13493 years ago Nilikuwa naomba nayako ili tuchat wasp na uniambie jinsi yakupangilia chakula na maezo zaidi. 2
  • @
    @angeljohn69612 years ago Hello dada nilikuwa naulz kwa ck unatkiwa kufanya mara ngp na ukae ck ngp ndo ufany tena mazoezi ya makalio.
  • @
    @Emmymajula58382 years ago Hii nzuri sana mi mwenyew saivi alhamdulillah.
  • @
    @elizabethjuma15483 years ago Naomba unisaidie huo mpangilio wa chakula dada. 1
  • @
    @dottosamson80803 years ago Matako nmeyapata mama
    ila bado hips
    naona tako tyuu ndo linaongezaa
    nisaidie best .
  • @
    @happinessonsongo37542 years ago More love to you mum nakupenda sans nimetoka 48kg adi 57 nimeshukuru sana umenipadirisha sana.
  • @
    @samsonimazemle-qf7ywlast year Habari nahitaji mpangilio wa vyakula kwaajili yakupunguza uzito.
  • @
    @user-ly1vw9wk2r3 months ago Dada nisaidi mm naitaji kario naips kisi kidg.
  • @
    @user-wp2kx1ie9j7 months ago Axante kwamazoezi yako mimi matokeo nimeyaona ila nilikuwa nauliza niasubuhi najioni, au.
  • @
    @estinatahhan50173 years ago Mazoezi no kwa mdagan asubuh au usiku lakin aina ya vyakula dadang nahitaj kujua.
  • @
    @winifridaedward62202 years ago Kama nikiacha baada ya kupata matokeo hakutakuwa nashida.
  • @
    @lillydavid16543 years ago Mm ndio naanza mazoez vyakula gani ni sahihi jmn joan.
  • @
    @grashfordmwilondo908910 months ago Jamn hapo nayataka yaongezeke na shepu nzuli jaman mungu wangu ee.
  • @
    @alicecharles92092 years ago " naomba mazoezi ya kunenepesha miguu.
  • @
    @reymatelela85002 years ago Naitaji kuanza mazoezi na pia kufaham program yote na mpangilio wa chakula.
  • @
    @user-lt5vs3sf4j11 months ago Dad nataka kutengeneza shep vp vyakula n vip.
  • @
    @rizikladyherson84513 years ago Dadaa natak kuondoa heep deep kwenye makalio. 1
  • @
    @user-oi6rg9bp7l11 months ago Nataka kujuwa ualatibu wachakula nanichakula gani au matunda gani.
  • @
    @nureennayra442 years ago Hello mm naomba kupunguza manyama uzembe pembeni.
  • @
    @gulassagande3335last year Hello dada nahitaji kujua mpangilio wa vyakula.
  • @
    @anitadecson88112 years ago Namba dada unitumie mazoez haya kwa wasph.
  • @
    @magrethmbilinyi29633 years ago Mtu akijifungua anaanza mazoez baada ya mda gan.
  • @
    @AngelineHemed6 months ago Nahitaji kuanza nambie mpangilio kamili.
  • @
    @hopelema47263 years ago Mimi nimefanya nimepata matokeo asante nakupenda bure unatufundisha vizuri kikubwa kuamua kuchukua atua misikate tama saivi mi naringa tu na shundu langu. 10
  • @
    @dukedml26162 years ago Samahan dad joan me napenda mazoez lakn nipo shule na vyakul vya protin havipo nifanyaje?
  • @
    @samiahappy81752 years ago Nitaka kujaza mapaja na najario nafanyaje.
  • @
    @maryambakari3542 years ago Tafadhali nitumie namba yako tafadhali please dadagu.
  • @
    @antutusa58292 years ago Hlw dad naomba uniunge wsp nijifunze zaidi.
  • @
    @emmymwasyeba48203 years ago Lazima ufanyie chini? Naomba namba yako my dear.
  • @
    @Kittunni01-oq8kd7 months ago Dada nipe ratiba ndonaona leo natak niaz kufanya na mim hay mazoez.
  • @
    @anglesamweli94442 years ago Asant dada ak piy nami naitaji mpangiliyo wa vyakula.
  • @
    @mussangagayu71173 years ago Hayama zoezinikwa sikungapi napatamatokeo.
  • @
    @beatraceabdallhmfangavo70522 years ago Unatakiwa kufanya hilo zoezi mara ngapi kwasiku.
  • @
    @husnamusa97112 years ago Kwa siku inabidi ufanye mazoezi hayo mala ngp.