@greatiq78353 years agoAsalaam alaykum, sheikh! Nimeota namsindikiza msichana (aliye vaa sketi fupi iliyo ishia mapajani na blauzi yenye mikono iliyo ishia nje kidogo ya kwapa). ...Expand1
@
@allymuhammad3252 years agoAnazunguka sana ndio shida yahuyu shekh. 12
@
@yusuphsixbertis55383 years agoShekh. Umechukua muda mwingi sana kwa utanguliz. 6
@
@badruzaid64212 years agoShekh ukitafsiri ndoto nenda kwenye ndoto ila maelezo mengi hadi mtu anaona tab kusikiliza. 3
@
@user-fe1vp7bn3l5 months agoMashallh ktk mashehe wa ndotobasi ww ni horari, nakufatilia sn.
@
@muhsinsaleh21923 years agoAssalaam aleykum, nimeota ndoto nimepigana na mwanamume nikamuua, sheikh nini maana yake.
@
@abudahmed52937 months agoNime muota mwanamke mwenye mwisho kionana ni kitambo sana ame ni jia mara mbili katika ndoto.
@ndeke_tz9 months agoNakushauri tu sheikh ww kutafariri ndoto acha toa mawaidha ndio yanakufaa maana unachukua muda mwingi kutoka mawaidha.
@
@user-hh1jd2gs1j4 months agoKwani, ukisalimia na kumshukur allah then ukamswalia mtume halafu ukaenda kwenye point shida ipo wapi? Mnajizungusha sana. 2
@
@ashakhamis33604 years agoShukra. Je ukiota mwnaume mzur ndoton amevaa kanzu kwa mwnake nn maana.
@
@zaharaallymwndelezotunatak8184 years agoMie nimemuta mwanamke mjazito mimba imtoka nn mana yake. 2
@
@maugotv28362 years agoAsalam aleykum nimeota mama yangu anaumwa yupo hospital, 1
@
@chrislacarin43324 years agoVipi sheh na ukimuota ambae una mjuwa alafu una msindikiza. 1
@
@sheilah91019 months agoMwanaume ukiota uko na mpenzi wako mwanamke beach mnaogelea umembeba yamanisha nini. 1
@
@zeenapangani74374 years agoAsalam aleikum. Juzi niliota mwanamme alikuja kwetuna wazazi wangu. Nikafanya mapenzi nayeye kwa ndoto. 2
@
@mariamharoon18404 months agoNimeota rafiki yangu anapa uji ni mwanake.
@
@perusephares12392 years agoShehk mm nimeota mwanamke alienitoa kwenyendoa yangu kaja nabegi ananiambia nitunzie ndoa imenishinda huyu unamuweza wewe tu mm siwezi baadae akaonekana. ...Expand
@
@seifomary552111 months agoShekhe nimeota wanawake wengi wananisifia.
@
@josuemalega-ec7pjlast yearHatuna shida nahizo nyimbo zako, tuna shida na point yenyewe. 1
@
@kirungekirunge59202 years agoMimi nimeota mwanamke ila kama kivuli na tunatembea sokoni ila yupo nyuma yangu na amejistiri kavaa baibui na ijabu ila nikivuli.
@
@user-ou5ti9eb1i10 months agoSheikh una maelezo mengi yasiyo ya lazima, punguza maelezo.
@
@abdalahleonad90253 years agoUnamambo mengi sana wew nenda kwenye mada kuwa kama wenzako maneno mengi unafer mzee. 7
@
@ibrahimkhatib28994 years agoHuu ndio uliwakati tulio ambiwa kua wanazuoni wataondoshwa watabaki watu kama hawa shekhe qur ani hiyoo sio gazeti tafuta alie kuzidi katika kuisoma qur. ...Expand4
@
@yusufabdallah80354 years agoAs. Alykum jaribu kuwa fasta na kulenga lengo. 7
@
@nassirfarah3159last yearNimemuota mwanamke wa kizungu hii imekaaje sheikh.
@
@salamanyimbo7029last yearTatizo unaongea sana mambo ya hadidhi yanini? Hauko speed kama wenzako mb zimepanda bei. 3
@
@user-vx2rn1jq6s5 months agoNa ukiota upo msiban kwenye uo msiba na mke mwenzio yupo yy akawa anafokewa na mume watu wakawa wananiambia umefrah mwezio kafokewa.
@
@jumannemazengo35112 years agoNimeota niko mton nachezea maji na mchumba wangu yan tunamwagiana maji hayo ya mto tukiwa tunafrahi.
@
@muidinimohamedy23812 years agoSalaam alaykum hustadhi a samaani leo nomeota nacheza mpila halafu nimefunga golli.
@
@waziriali78958 months agoAssalam alaykum sheikh nimeota wanawake wawil wapp inje ya duka lao mm nkafka pale nikafumgua mlango wa duka nikaingia ndan halaf nikatoka nilipfka nje nikawakuta wale wanawake na mtu aliekufa anapita pale.
@
@aminaibrahim76402 years agoShekhe ukiota umeachana na mme au mpenz wako je inakuwaje.
@
@annamwambe95592 years agoMm nimeota mwanamke namm nimwanamke tena nimara ya pili hii ananipa dawa ya kijani iko km hina.
@
@solsimaniakanam78437 months agoMimi nimeota nikodani ya nyumba yangorofa mkemweza akaniabia tushuke kununua vituvya kunywea chai nikamwabia sishuki nasikonaena mimi piasimjuwi niko ichiyengine naepiya yukoichi yengine nikajikutaniko nikonae pamoja ni mweusi ilanimemuona nimweupe na alikuwa nafurahatu kawaida ilachai hatukunywa nikashitukata yariameshuka akaenda pakamwa mama bwana. Mimi nikawaniko paledani yanyumba juyangorofa ndionika amuka sijuwi inamanishanini babangu. ...Expand
@
@davidmkayula32432 years agoShehe wangu nimeota wanawake wawili wazuri wapo kwenye gari na mtoto mdogo lakini baadae yule mtoto akamfunua mmoja wapo nikawa nimeona makalio yake na. ...Expand
@
@khadijamohammed32014 years agoMimi nimeota nimekojoa na kuamka kweri nimekojoa iyo inshaallah yanini shekha kwa mala ya kwanza toka nizariwe naomba msaada niambie.
@
@bretengood50383 years agoMm nimemuota mwanamke mzuri akiniongelesha na kunikonyesha lakini ile natoka tukamuona simba akaanza kutufukuza nini hii maana yake ety sheikh.
@
@muhammadahmedaliyyu38544 years agoJee na upande mwengine wakike maana yake ni hio? 1
@
@reginasalimu44714 years agoNaomba unitafsirie ndoto hii ukimuota baba amekufa na unalia sana huku ukisema baba ulinambia hutokufa mapema.
@
@ciciliaapalat41114 years agoUkioto mwanamke anamka kwenye kaburi na a anakumbiza kisha unaanza kupigana naye hadi apotee na unamshinda maanake nini?
@
@fatramabm1307last yearJitahid kupunguza kuzunguka eleza point inayohusika ili tuelewe.
@
@rojatv1673 years agoMimi nimeota nimemuona mwanamke ambaye namjua kavaa kimasai nini maana ake. 2
@
@kombohamissi71074 years agoShkh m nmeota namshka mkono jee inamaana gn?
@
@lucykulali75874 years agoUkiota mwanamke wa dawa y kienyeji manake nn. 1
@
@bashirkhan41114 years agoSheikhe ukiona unauza biashara kharam km unga nn maan yke.
@
@ashurasaid50173 years agoNimeota wanawake wengi wamevaa ushungi na wakaniangalia kwa chuki sana wakapita kisha akaja mtoto mdogo was like akaniijia na kunipeleka sehemu kisha nikamkuta. ...Expand
@
@guhgghhg85923 years agoUkiota wana wake wengikula na ukala ila cakula unaco kula hakieleweli maana yake nini. 1
@babymummie44683 years agoUkiota unalala na mwanamke na ww n mwanamke ina maana gani.
@
@muhsinsaleh21923 years agoNdoto yangu nyengine 1. Nilimuota namkanda mwanamke mgongoni mpaka miguuni, na wakati nikimkada alikua akiskia raha. 2. Nilimuota mwanamke ananisafirisha ila tukakosa safari na hatimae tukarudi. 2
@
@aishajuma468last yearMe nimeota mwanamke kavaa nguo nyeusi ananizunguka nje maana yake nini?
@
@jumamohamed15263 years agoSizani kama kuna mwanamme hakuwahimwanamke.
@
@habibabishar19054 years agoNa kama mwanake mwenyewe ni yule hamna uhusiano mzuri na huyo mwanamke ni mjamizito na mnakutana yeye anajaribu kuficha huo mimba huku anacheka.
@
@jeremybr4403 years agoSheikh mienimemuota mpenzi wanguwazamaani nimerara pamojanae nyumbani kwake kitandani nawakati tumeisha achana nini maana niripo amuka nikamushika kwaziwa lake nini maanayake.
@
@salummrisho58252 years agoShekhe mim huwa naota mme wang kaniletea bint aliyempa ujauzito nyumban kwang niishi nae halaf sasa mme wang anakuwa hanisemeshi mim anakuwa bize tu na huyo bint msaada tafadhal maana inajiludia sana.
@
@shariffkareem8045last yearNime ota mwana mke ame kaa uchi alafu mi sikutaka kumuangalia.
@
@marymasawe98543 years agoMm nimeota mwanaume ananiaga ananiambia kwaher sitakuja tena kwako na uyo mtu ni mpenzi wangu maana yake ni nn. 1
@
@fadhilaburuhani17742 years agoIla sheikh mbona kama tafsili yako inahusu wanaume tu. Na sisi wanawake tukiona wanawake ndotoni? 1
@
@jiddahadam5784 years agoShehke mimi ni mwingi wakuota ndoto za kweli kwa kiasi ila nikisema mapema kwamtu kuwa mm nime ota aita kuwa kweli ila nikinyamaza ina kukweli alafu nisaidie. ...Expand1
@
@lydiajosephine4146 months agoNimeota ninaongea na mwanamke ambae aliamua mumpeleka mwanae kwa mama yake alafu akaniambia kuwa anataka kwenda kufanya kazi uk na mimi nikamjibu nami. ...Expand
@
@MahmoudAli-uk8ci4 years agoShehe rudi chuoni kidogo mbona unazikata kata. 2
@josephinamussa17092 years agoPunguza mda wa utangulizi wewe uwe unaenda directly. 1
@
@wambogootieno47624 years agoWengine wetu si waislamu hivo basi enda kwa maana ya ndoto direct. Usipoteze muda na mambo ya uislamu. 2
@
@johnpepe9802 years agoBwana mkubwa sisi tunajua kma njozi zimaushahidi ktka qurani ila unamambo mengi kweli hem nenda ktka pwenti qurani yenyewe unaisoma makosa naww.
@
@leylahchesavio95514 years agoUkimuota ndugu yako anatembea na mume wa mtu na yy akawa anajeur kukubal like swala na kusema kanifat mwenyew. 1
@
@deogratiusyudatadei56582 years agoYani sheh unachukua muda sna tafsri ya dakika tano unaifanya kuwa nusu saa nahata haiyeleweki. 1
@
@allygosso80844 years agoJe ukimuota mwananke amezaa mtoto mdogo akawa ameanza kuongea haraka na kila unachomuliza anakijua inamaanisha nn. 2
@
@monalaizarajabu2564 years agoMimi nimemuota mwanamke mjamzito ilasiomim. 1
@
@samiasadiki29284 years agoJe kama umemuota mwanaume ukiwa umeolewa na, inamaanisha nini? 2
@
@salmasaidi28754 years agoMie nimeota ni mwanamke mzee anaye pambwa kiarusi aolewe na mume, na mume namjua ila mke simjui mzee kwa uso ila mwili sio wakizee. Maana yake nini? 1
@
@issambeo53723 years agoNimeota nyoka was rangi, nikataka kupiga nilipopiga nikamkosa na nilipoiingia chmba fulani nikamkuta tena nikakimbia kuleta fimbo sikumkuta nikachoma id="hidden13" majani yaliyokuwemo chumbani humo. Mara nikamuona amesimama nje na mara akageuka msichana akaniuliza unataka kunipiga wakati mimi ninakulinda. Basi nikamwambia usiwe unanitisha na tuwe marafiki na nikambusu paji la uso. Je maana yake ni nini?. ...Expand2
Related videos for UKIMUOTA MWANAMKE KATIKA NDOTO | BASI HIKI NDIO KITACHOKUPATA | SHEIKH KHAMISI SULEYMAN:
muda mwingi sana kwa utanguliz. 6
1. Nilimuota namkanda mwanamke mgongoni mpaka miguuni, na wakati nikimkada alikua akiskia raha.
2. Nilimuota mwanamke ananisafirisha ila tukakosa safari na hatimae tukarudi. 2